Mungu akambariki Nuhu na wanawe na kuwaambia:
“Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi… Zaeni, basi, mkaongezeke;
kwa wingi duniani na kuitiisha.”
(Somo la Misa ya leo Februari 16, 2023)
Baada ya Mungu kuusafisha ulimwengu kwa Gharika, kwa mara nyingine tena alimgeukia mume na mke na kurudia kile alichowaamuru mwanzoni kabisa kwa Adamu na Hawa:kuendelea kusoma